BBC News, Swahili - Habari
Habari Kuu
Kiongozi wa upinzani wa Zambia ashtakiwa kwa uhaini
Brian Mundubile, alikuwa amepinga matokeo ya uchaguzi uliompa Rais Hakainde Hichilema ushindi wa muhula wa pili.
Mbunge wa Marekani: Trump na washirika wake wananufaika na vita dhidi ya Iran
Hakuna ushahidi unaothibitisha moja kwa moja madai ya Warren kuhusu uhusiano kati ya michango ya kampeni na faida zinazodaiwa kupatikana kutokana na vita hivyo.
Vyakula 5 vya Kiafrika ambavyo sayansi inaviona kuwa bora kwa afya
Kuanzia Moringa hadi Fonio, na ikijumuisha Baobab, Mtama, na Teff, vyakula kadhaa vya Kiafrika vinajulikana kwa utajiri wake wa virutubisho.
Je, unataka kuhamia Ulaya? - hii hapa siri
"Ni mji mzuri na wenye kukaribisha," anasema Sunday, mmoja wa wateja wa Anik, ambaye amehamia hapo hivi karibuni akitokea Devon.
Jinsi Donald Trump anavyoisaidia China kuimarika zaidi
Copilot said: Donald Trump aliwaahidi Wamarekani kwamba atairudisha Marekani kwenye nguvu zake za zamani, lakini baadhi ya wachambuzi wanaamini China huenda ndiyo imenufaika zaidi na baadhi ya sera zake.
'Dharau na kiburi' vilivyomfukuzisha Nchimbi CCM
Hii ni kauli ya kwanza kutoka kwa kiongozi wa CCM kueleza hadharani mazingira na uamuzi wa kumfukuza Nchimbi katika chama hicho.
Tetesi za Soka Ulaya Jumapili: Sunderland bado inamuwinda Grealish Man City
Napoli yaonyesha nia ya Woltemade, Sunderland yamuwinda Grealish huku Arsenal ikimfuatilia Fernandez-Pardo
Kukaa uchi mbele ya watu wengine kunaweza kukusaidia kuuthamini zaidi mwili wako
Utafiti unaonyesha kuwa kukaa uchi pamoja na watu wengine kunaweza kuwasaidia watu kuwa na mtazamo mzuri zaidi kuhusu miili yao na kuithamini zaidi
Ni nini kilisababisha kuporomoka kwa barafu na kusababisha mafuriko na maafa Nepal?
Kuporomoka kwa barafu ya mlima ndicho chanzo kinachoangaziwa kuchochea mafutiko hayo makubwa.
Nchimbi kufuata nyayo za Maalim Seif au kina Lowassa?
Katika historia ya siasa za Tanzania, wanasiasa waliowahi kuwa na nafasi kubwa ndani ya CCM lakini wakaondoka au kuondolewa wamewahi kuchukua njia tofauti kuhusu siasa na mustakabali wao kwenye nafasi za kisiasa. Nchimbi atachagua njia ipi?
Je, ni rahisi kuifanya Iran kuwa maskini kuliko kuilazimisha kusalimu amri?
Siku moja baada ya kutangazwa kwa kampeni mpya ya Marekani ya kuweka shinikizo la kiuchumi dhidi ya Iran, vyombo vikuu vya habari nchini humo vilikubaliana katika jambo moja
Unataka kupunguza gharama za data?
Soma mtandao wetu wa maandishi kwa gharama ndogo za data.
Gumzo mitandaoni
Ndejembi kumrithi Nchimbi, ni mwanasiasa wa aina gani?
Iwapo atathibitishwa kwa mujibu wa taratibu za kikatiba, Ndejembi mwenye umri wa miaka 43 atachukua nafasi iliyoachwa na Nchimbi, ambaye alijiuzulu baada ya kuitumikia kwa takriban miezi 10.
Je, Nchimbi na Gachagua wameponzwa na misimamo yao kisiasa?
Ingawa walihudumu katika nchi mbili tofauti na chini ya mifumo tofauti ya kisiasa, hatima za Emmanuel Nchimbi wa Tanzania na Rigathi Gachagua wa Kenya zimeibua mjadala unaofanana kuhusu uhusiano kati ya marais na manaibu wao, hasa pale tofauti za kisiasa zinapoanza kujitokeza.
Vigogo watano wa CCM waliioondoka katika nyadhifa zao chini ya Rais Samia
Tangu rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kuingia madarakani, kuna wanasiasa kadhaa cha Chama cha Mapinduzi (CCM), ambao wameondoka kwa hiari au kwa shinikizo katika nafasi zao.
Tundu Lissu: Kuwa na kesi ya kujibu maana yake nini?
Mahakama Kuu ya Tanzania imetoa uamuzi kuhusu Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini humo, Tundu Lissu, kwamba ana kesi ya kujibu katika shtaka la uhaini linalomkabili. Hatua hii ina maanisha nini?
Siri Yafichuliwa: Kwa nini Bomu la Nagasaki halikuweza kuzuiwa
Mnamo tarehe 9 Agosti 1945, bomu la plutonium liliangushwa katika mji wa Nagasaki nchini Japan, na hivyo kuhitimisha Vita vya Pili vya Dunia.
Silaha 9 za teknolojia ya juu zitakazobadili vita vya siku zijazo
Leo uwanja wa vita unaelekea kwa kasi kwenye silaha zisizoonekana, kupitia akili unde, sumakuumeme, na anga ya juu.
Je, Iran itaishambulia Ulaya?
Iran inaweza kushambulia vituo vya kijeshi vya Marekani barani Ulaya iwapo Donald Trump ataishambulia Iran tena, gazeti la Financial Times linaripoti.
Nani anafadhili magenge ya wahuni kuchochea ghasia za kisiasa Kenya?
Polisi nchini Kenya wamewakamata watu 37 wanaoshukiwa kuhusika na ghasia za kisiasa, baada ya kukutwa na silaha mbalimbali katika kaunti za Kisumu na Homa Bay. Ni nani yuko nyuma ya makundi haya ya vijana?
Bidhaa 8 zilizobadilisha dunia
Apple inatimiza miaka 50, safari yenye mafanikio makubwa, changamoto na bidhaa zilizobadilisha dunia. Tunaangazia bidhaa zilizoifanya Apple kuwa kampuni tunayoijua leo.
Je, Tanzania inaweza kufikia maridhiano ya kisiasa bila CHADEMA na Lissu?
Historia ya Tanzania inaonesha baadhi ya hatua kubwa za maridhiano ya kisiasa zilihitaji serikali na vyama vikuu vya upinzani kukaa meza moja.
Baada ya Hormuz, je ni zamu ya Panama?
Wakati vita vya Iran vikiendelea kuvuruga usafiri wa meli katika Mlango wa Hormuz, mojawapo ya njia muhimu zaidi za usafirishaji baharini duniani, maelfu ya kilomita kutoka hapo, eneo jingine muhimu la kimkakati limekuwa kitovu kipya cha mvutano: Mfereji wa Panama; njia muhimu ya maji inayounganisha Bahari ya Atlantiki na Bahari ya Pasifiki.
Jinsi Iran ilivyotaka kumuua mmoja wa wanangu – Netanyahu
Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, amesema kuwa Iran ilijaribu kumuua mmoja wa wanawe, lakini hakutaja ni lini tukio hilo lilitokea.
BBC News Swahili sasa ipo WhatsApp
Vipindi vya Redio
Listen Next, Amka Na BBC, 05:59, 31 Agosti 2026, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Dira Ya Dunia, 18:29, 28 Agosti 2026, Muda 1,00,00
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 06:59, 28 Agosti 2026, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 05:59, 28 Agosti 2026, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Dira ya Dunia TV
Kipindi cha habari motomoto, kinachowaweka watazamaji karibu zaidi na yanayojiri duniani























































